MAMBO 12 UNAYOHITAJIKA KUYAACHA ILI UFANIKIWE HARAKA.
Mara nyingi tumekuwa tunafanya mambo yetu kana kwamba tuna muda mwingi sana. Kwamba kesho nayo siku, hili ni kosa kubwa sana.
Iwe unafanya kazi au unafurahia, kuwa makini na jinsi unavyotumia muda wako ni moja ya mambo mazuri zaidi unayoweza kufanya maishani mwako. Yafuatayo ni mambo 18 yanayoongoza kwa kupoteza muda ambayo inabidi uyaache.
1. Kukimbia changamoto
Iwe isiwe, utajikuta umefika mahali ukakosa pa kukimbilia mambo yatakapokufikia shingoni. Kabili changamoto zote unazokumbana nazo na uachane nazo moja kwa moja ukiwa umeshapata suluhisho zake. Kuendelea kuzikimbia haimaanishi umezitatua, zitarudi tena kwa namna tofauti.
Iwe isiwe, utajikuta umefika mahali ukakosa pa kukimbilia mambo yatakapokufikia shingoni. Kabili changamoto zote unazokumbana nazo na uachane nazo moja kwa moja ukiwa umeshapata suluhisho zake. Kuendelea kuzikimbia haimaanishi umezitatua, zitarudi tena kwa namna tofauti.
2. Kulaani unapokutwa na matatizo
Sote tunakumbana na ugumu wa maisha pamoja na kushindwa kwa kiasi fulani, lakini unapoielekeza akili yako kwenye kutafuta ufumbuzi — hata uwe ni wa kiwango kidogo namna gani — unakuwa umeingia kwenye mchakato wa kujitoa kwenye mtego wa matatizo hayo.
Sote tunakumbana na ugumu wa maisha pamoja na kushindwa kwa kiasi fulani, lakini unapoielekeza akili yako kwenye kutafuta ufumbuzi — hata uwe ni wa kiwango kidogo namna gani — unakuwa umeingia kwenye mchakato wa kujitoa kwenye mtego wa matatizo hayo.
3. Kujidanganya
Usemi kwamba ukweli unakuweka huru ni sahihi kabisa. Imani pamoja na mawazo yanayozuia uwezo wako wa kuwa na machaguo mengi zaidi hayawakilishi ukweli wako juu ya mambo au matatizo fulani na yanayofanya ni kukuzuia usitimize malengo uliyojiwekea katika maisha.
Usemi kwamba ukweli unakuweka huru ni sahihi kabisa. Imani pamoja na mawazo yanayozuia uwezo wako wa kuwa na machaguo mengi zaidi hayawakilishi ukweli wako juu ya mambo au matatizo fulani na yanayofanya ni kukuzuia usitimize malengo uliyojiwekea katika maisha.
4. Woga
Ni jambo la asili kwa binadamu kuwa na woga na wengi wetu tunajikuta tukiogopa mambo mengi kwa sababu hatuyajui kabisa au hatuyajui vizuri. Kama ukiweza kuelewa sababu za woga ulionao, ni rahisi kujiweka huru baada ya hapo.
Ni jambo la asili kwa binadamu kuwa na woga na wengi wetu tunajikuta tukiogopa mambo mengi kwa sababu hatuyajui kabisa au hatuyajui vizuri. Kama ukiweza kuelewa sababu za woga ulionao, ni rahisi kujiweka huru baada ya hapo.
5. Mawazo hasi
Ikiwa unajiwekea malengo yako binafsi, yaweke ukiwa na tamaa kubwa ya kuyatimiza pamoja na kuwa na mtazamo chanya badala ya kufikiria mambo yatakayokushinda au yatakayokuwa vikwazo kwenye safari ya kutimiza malengo yako. Mawazo yetu yanaweza kutusababisha tufanikishe malengo tuliyojiwekea na kutufanya kuwa na furaha au kutufanya tushindwe hata kuchukua hatua ya kwanza ya kuyatimiza na kufanya tuishi kwa woga na majuto maisha yote.
Ikiwa unajiwekea malengo yako binafsi, yaweke ukiwa na tamaa kubwa ya kuyatimiza pamoja na kuwa na mtazamo chanya badala ya kufikiria mambo yatakayokushinda au yatakayokuwa vikwazo kwenye safari ya kutimiza malengo yako. Mawazo yetu yanaweza kutusababisha tufanikishe malengo tuliyojiwekea na kutufanya kuwa na furaha au kutufanya tushindwe hata kuchukua hatua ya kwanza ya kuyatimiza na kufanya tuishi kwa woga na majuto maisha yote.
6. Kuamini jambo ‘haliwezekani’
Miongoni mwa maadui waku
Miongoni mwa maadui waku
No comments:
Post a Comment