Thursday, January 31, 2019

HATIMA YA MAPENZI MTUNZI............... KENDRICK LINCOLN JR. SEHEMU YA ISHIRINI NA TISA ( 29 )

HATIMA YA MAPENZI
MTUNZI............... KENDRICK LINCOLN JR.
SEHEMU YA ISHIRINI NA TISA ( 29 )
ILIPOISHIA..
Zilizipita takribani siku nne na nilikua nipo na Janeth chumbani kwangu usiku tukiongea mara baada ya kutoka kupeana mambo. Tulisikia honi ikipigwa getini na ilibidi tuchungulie ni nani maana magari yote yalikua yapo ndani. Baada ya muda mfupi mlinzi alifungua geti na hatukuamini tulivyomuona David akiwa anaingia ndani huku akiwa na mizigo mkononi..
ENDELEA..
Tulishtuka sana kwani David alirudi ghafla bila kumtaarifu mtu yoyote. Janeth aliinuka haraka na kuikimbilia kanga yake kisha akajifunga kifuani. Alitoka mbio mbio na kusahau kuvaa kufuli lake ambalo aliliacha kitandani. Nilimsikia akifungua mlango wa chumbani kwake na kuufunga kisha na mimi nikaenda kuufunga na funguo mlango wa chumbani kwangu kisha nikajifanya nimeshalala. Nilizima taa na kujikausha kimya na baada ya muda mfupi nikamsikia David akiwa anaongea na mlinzi koridoni na nikahisi huenda itakua amemsaidia kubeba mizigo. Alimshukuru mlinzi na nikasikia akiufungua na kuufunga mlango wa chumbani kwake na baada ya hapo ukimya ulitawala nisijue ni kitu gani kinachoendelea huko. Nilikua na wasiwasi sana kwani Janeth alitoka bila kuoga na nikahisi huenda David atamshtukia kuwa ametoka kulala na mwanaume. Na mimi sikutaka hata kuoga, nikaamua nilale vile vile na janaba langu.
Wakati bado nawaza yote hayo nikasikia simu yangu inaita na nilipoangalia nikaona ni Agness. Sikua na hamu ya kuongea nae hata kidogo kwani muda huo nilikuwa nimevurugwa sio kawaida. Simu iliita hadi ikakata na baada ya muda akapiga tena. Nikaamue nipokee na kuongea nae japo kidogo ili tu aridhike.
Hellow.
Eeh hello mume wangu.
Naam, mambo vipi?
Poa, vipi mzima?
Mimi mzima sijui wewe.
Mimi pia mzima kabisa mpenzi wangu. Vipi ulikua umelala nini mbona unaongea kwa uchovu sana?
Ndio, nilikua nimeshalala yani simu yako ndo imeniamsha.
(Nilikua naongea kwa uchovu sana utadhani kweli nilitoka usingizini)
Jamani pole sana mume wangu.
Asante sana.
Vipi mbona leo umelala mapema sana na sio kawaida yako?
Nimechoka, siku ya leo nilikua nipo busy sana.
Jamani pole sana mpenzi.
Sawa asante.
(Haya mapenzi haya tuyaache kama yalivyo, yani sijui kwanini nilijikuta nashindwa kumuita Aggy majina mazuri ya kimapenzi kama tulivyozoea. Sikujua kama ni kumzoea sana au nimeanza kumchoka)
Basi sawa nikuache upumzike tutaongea kesho honey.
Sawa nashukuru sana.
Sawa usiku mwema mume wangu na nakupenda sana.
Asante nakupenda pia.
(Aggy hakuongea tena neno jengine na akakata simu. Nilihisi itakua ameigundua ile hali yangu niliyokua naongea nae maana sikumchangamkia kabisa.)
Nilivyoitazama simu yangu nikakuta kuna meseji ya Vanessa imeingia muda mfupi uliopita na nikahisi itakua ni wakati naongea na Aggy. Alikua anaomba nimpigie na sijui ile mood ilitoka wapi kwani nilijikuta napata shauku kubwa sana ya kuongea nae. Ama kweli ndio maana watu kutwa wapo busy kuwasaliti wapenzi wao maana asikwambie mtu bwana penzi jipya lina utamu wake. Nahisi kuna watu wanaimiss ile raha na ndio maana wanaamua kusaliti na kuanzisha penzi jipya sehemu nyengine.
Nilimpigia na simu haikuita sana akapokea.
Hellow baby.
Hellow, mambo.
Poa tu mume wangu, vipi hali yako?
Mimi niko poa tu sijui wewe unaendeleaje.
Mimi naumwa.
Mhh! Unaumwa nini baby na mbona wakati tunachat haukuniambia?
Naumwa kukumiss wewe hapo.
Ooh! jamani nimekumiss pia mke wangu si unajua hali yangu nisipokuona siku moja tu?
(Yani sijui ile mood ya kuongea vile ilitokea wapi maana utadhani sio mimi niliyekua naongea na Agness muda mfupi uliopita)
Mhh! Lakini hunishindi mimi Alex wangu.
Vipi wikiendi utakua free?
Jumamosi au Jumapili?
Jumamosi.
Mhh! nadhani kuanzia mida ya saa 11 jioni hivi ndo nitakua free.
Sawa ndo muda mzuri huo, nataka tutoke out.
Awww! Jamani tunaenda wapi baby?
Utajua siku hiyo hiyo acha iwe surprise tu ila naamini utapapenda.
Mmhh! Sawa baby nitafurahi sana.
Tuliongea mambo mengi sana hususani suala la kupanga na nikamuahidi kuwa ndani ya siku chache nitakua nishalimaliza hilo jambo. na alifurahi sana. Tuliongea hadi usiku mwingi na tukaagana na kutakiana usiku mwema. Sio siri Vanessa alinitia mshawasha sana na nilitamani hata muda huo tungekua tuko pamoja. Kadri siku zilivyokwenda ndo nilijikuta nazidi kuzama kwenye penzi la Vanessa na niliamini hata yeye alikua ananipenda sana.
************** ***************
Kesho yake mida kama ya saa 4 asubuhi nikiwa ofisini kwa David nilimuona yeye mwenyewe akija. Niliinuka na kumsalimia kwa furaha sana kisha nikamuuliza habari za huko pamoja na safari yake kwa ujumla. Akanijibu kuwa safari yake ilikua ya mafanikio sana na alifanikiwa kukamilisha mambo yote yaliyompeleka na akaniambia kuwa kuna kitu kikubwa kipo njiani atakizindua siku sio nyingi. Nilimuomba sana aniambie ila akasema kuwa niwe mvumilivu kwani mambo mazuri hayataki haraka. Nilimkabidhi daftari la mahesabu la biashara zake zote na baada ya kulipitia alifurahi sana.
Hongera sana Alex mdogo wangu yani wakati nasafiri sikutegemea kabisa kama huu mwezi ungeenda hivi maana tulifanya matumizi makubwa sana mwezi uliopita. Kiukweli najivunia sana kuwa na mtu makini kama wewe kwenye biashara zangu kwani hapo mwanzo mambo yalikua hayaendi hivi kabisa. Asante sana Alex, wewe ni mtu muhimu sana kwangu.
Nilifurahi sana jinsi nilivyomwagiwa zile sifa na nikamuahidi kuwa nitazidi kuwa makini zaidi kwenye kazi yangu.
Vipi kwenye suala la ujenzi nyumbani umefikia wapi?
David aliniuliza huku akiwa anamalizia kufunga mahesabu ya biashara zake.
Namshukuru Mungu nimefikia sehemu nzuri sana na nimebakisha vitu vichache sana ili nikamilishe kila kitu.
Niliongea huku nikitoa simu yangu na kumuonyesha picha ambazo wale mafundi walikua wananitumia kila siku.
Aisee nyumba nzuri sana na kweli imefikia sehemu nzuri. Na je ulivyopiga mahesabu umejua ni kiasi gani kilichobaki ili umalize kabisa kila kitu.
Kwa haraka haraka nilivyopiga hesabu nikagundua inahitajika kama milioni 4 na nusu hivi au 5 ili nimalize kila kitu hadi kuweka umeme.
Okay, basi hamna shida mimi kesho nitakupatia hiyo hela.
Kiukweli nilifurahi na kumshukuru sana David kwa moyo wake na nilijikuta nikizidi kupata aibu kwa yale mambo niliyokua namfanyia kutembea na mke na watoto wake, tena haswa mke wake.
Kaka halafu kuna kitu ninataka nikuombe.
Sawa usijali Alex kuwa free tu.
Nilikaa kimya kwa muda nikijiuliza nianze na sentensi gani ili aweze kunielewa kirahisi.
Kaka ninaomba uniruhusu nihame pale nyumbani kwako.
Kwanini Alex? Kuna tatizo lolote limetokea wakati mimi sipo?
Hapana kaka hakuna tatizo lolote na nashukuru watu wote mule ndani ninaishi nao vizuri sana.
Sasa tatizo liko wapi wakati nilikwambia usihame hadi mwaka huu uishe?
Nilikaa kimya kidogo kisha nikamjibu.
Unajua kaka sasa hivi nimeshakua mtu mzima na pia tayari nina marafiki wengi sana. Sasa kuna baadhi ya siku huwa tunaenda sehemu za starehe kufurahi na kujikuta ninarudi nyumbani usiku mwingi sana nahisi hata wewe itakua unanisikia.
David alikua kimya akinisikiliza kwa makini kisha nikaendelea.
Pia sasa hivi tayari nimepata mwanamke hivyo naona itakua sio vizuri nikiwa nakuja nae nyumbani haswa wakina Happy, Winfrida na Patrick wakiwa wapo nyumbani maana haitaleta picha nzuri kwao. Pia nikiwa kwangu ndo akili itazidi kufunguka na kuanza kufanya vitu vingi vikubwa.
David alikaa kimya kwa muda kidogo kama anayatafakari maneno yangu kisha akaniambia.
Yani kwa sababu ulizonipa Alex mimi wala sina kipingamizi tena nakuruhusu kwa moyo mmoja na kukutakia kila la heri katika kuanza safari yako ya maisha.
Nilifurahi sana pamoja na kumshukuru David kwa kuishi na yeye vizuri muda wote niliokua nyumbani kwake. Pia sikuacha kumshukuru kwa mambo yote aliyonitendea kwenye maisha yangu na kunifanya nimekua Alex mpya kabisa. Nikapanga kuwa pindi nitakapohama niache kabisa kujihusisha kwenye mapenzi na familia ya David maana roho ilikua inanisuta sana kila nikimtazama David na mambo anayonifanyia.
*************** ****************
Jioni nilivyorudi nyumbani wakati naangalia TV nilimuona Janeth akija na kukaa kwenye sofa la pembeni yangu wakati David alipokua bado hajarudi kwani alipitia kwenye mizunguko yake mengine.
Alex mbona unaonekana umechoka hivyo?
Shughuli tu za mchana kutwa ndo zinanifanya nakua hoi ukifika muda huu.
Aisee pole sana ndo uanaume huo.
Asante sasa hivi nimeshazoea.
Tuliongea mambo kadhaa kuhusu kazi kisha akabadilisha mada.
Mwenzangu jana ilibaki kidogo tu tuumbuke yani kama tulijua vile tutumie chumba chako, maana ingekua kule chumbani kwangu wala tusingejua kama kuna mtu ameingia maana hauoni getini..
Aisee wewe acha tu yani moyo ulikuwa unaenda mbio sana na nikaona leo ndio nauliwa huku najiona.
Janeth alicheka sana utadhani yale tuliyokua tunaongea yalikua mazuri.
Eehe kwahiyo alivyoingia chumbani kwenu ikawaje?
Yani nilivyoingia chumbani tu moja kwa moja nikapitiliza chooni kuoga maana mwili wote ulikua umejaa jasho lako..
Kwahiyo hajahisi kitu chochote?
Tena hata kidogo na jana alirudi yupo vizuri ana mizuka hatari tukafanya raundi mbili.
Mhh! Wewe mwanamke hauchoki?
Sasa unafikiri ningefanyaje, ningeanza kujifanya nimechoka si angenihisi vibaya? Nimempa hivyo hivyo japokua nilikua sina hamu.
Mhh! Wanawake nyie mna siri nyingi sana.
Janeth alicheka sana na baada ya muda akaniaga kuwa anaingia chumbani kwake kuna kazi alikua hajaimalizia.
Niliendelea kuangalia TV na baada ya muda Grace alikuja kuniita nikale chakula. Nilienda dining room na kuanza kula nikiwa nipo peke yangu. Ila nilikua nashangaa Grace pilika pilika haziishi kila muda anakuja huku akiwa ananitazama sana usoni...............JE NINI KITAENDELEA?
USIKOSE KUFUATILIA SEHEMU YA 30 SIKU YA KESHO.
HADITHI HII IMEFIKA MBALI SANA HIVYO USIKUBALI KILA SIKU KUBAKI NYUMA. LIPIA SASA SH. 200/= TU KWA KILA KIPANDE KIMOJA ILI NIKUTUMIE MUENDELEZO.
NAMBA YA MALIPO NI TIGOPESA 0719061143 JINA ALLY RASHIDI.
KUNA WATU WANALALAMIKA KUWA WANA VODA TU AU AIRTEL PEKEE. HIVI KUTUMA PESA KUTOKA VODA MPESA KUJA TIGOPESA HAIWEZEKANI? PIGA *150*00# KISHA CHAGUA NENO "TUMA PESA" BAADA YA HAPO UTACHAGUA "TUMA KWENDA MITANDAO MINGINE UTAONA TIGOPESA IPO..
UKISHATUMA HELA USISAHAU KUNITAARIFU ILI NIKUTUMIE HADITHI.

HATIMA YA MAPENZI MTUNZI..............KENDRICK LINCOLN JR. SEHEMU YA THELATHINI ( 30 )

HATIMA YA MAPENZI
MTUNZI..............KENDRICK LINCOLN JR.
SEHEMU YA THELATHINI ( 30 )
ILIPOISHIA..
Niliendelea kuangalia TV na baada ya muda Grace alikuja kuniita nikale chakula. Nilienda dining room na kuanza kula nikiwa nipo peke yangu. Ila nilikua nashangaa Grace pilika pilika haziishi kila muda anakuja huku akiwa ananitazama sana usoni..
ENDELEA..
Nilijiuliza sana atakua ana tatizo gani maana sio kawaida yake kabisa kufanya vile. Nikatamani nimuulize ana tatizo gani ila nikaamua nimpotezee tu. Nilikula na kumaliza kisha nikaingia chumbani kwangu. Nikaanza kuchat na Vanessa pamoja na Agness wote kwa wakati mmoja. Pia nilikusudia baadae Agness asinitafute tena ili nipate muda mzuri wa kuongea na Vanessa. Kama kawaida yake Agness hakuacha kunilaumu kuwa nimebadilika sana sina muda na yeye na nilisingizia kazi zinanibana sana. Nilimpa maneno ya kumfariji lakini ukweli ni kwamba sikua na muda nae kabisa kwani sasa hivi Vanessa ndo alikua ameiteka akili yangu. Kweli baadae nilimpigia simu Vanessa na tuliongea sana mpaka usiku mwingi huku bwana mkubwa akiwa amekasirika balaa kutokana na sauti yake kuwa inanipa mshawasha wa hali ya juu.
*************** ***************
Ilipofika wikiendi siku ya Jumamosi jioni, nilitoka out na Vanessa kama tulivyokubaliana. Nikampeleka mpaka fukwe za White Sands Hotel & Beach Resort na alionekana kupapenda sana.
Wow! This place is so beautiful ( Hii Sehemu Ni Nzuri Sana) yani sijawahi kufika hata mara moja.
Alinichanganya na viingereza vyake ila nikajifanya kama vile nimemuelewa ili asinione kila kitu nipo nyuma.
Mimi nimefika mara moja tu hapa kabla ya leo na nilikuja na wale marafiki zangu uliowaona siku ile kule Club Next Door.
Okay, ni pazuri sana sio siri nimepapenda.
Nikajiona kidume sana kumleta sehemu Vanessa na akaisifia kiasi kile maana kwa msichana wa kisasa kama yeye anakua ameshafika sehemu nyingi sana hivyo hata ukimpeleka baadhi ya sehemu inakua ni kama marudio tu kwake.
Tuliagiza vyakula na vinywaji vya gharama sana na baada ya kusubiri tuliletewa, vyakula vikiwa ni bado vya moto kabisa. Tulianza kula na kunywa taratibu huku tukiendelea na maongezi. Vanessa akaanza kuleta mahaba ya kulishana pamoja na kunyweshana na ilibidi na mimi nimlishe kama yeye. Muda wote alikua anapiga picha tu kwani Vanessa alikua anapenda picha kupita maelezo yani kila atakapokaa basi ni lazima atajifotoa tu.
Baby vipi kuhusu suala la kule tulipopata nyumba ya kuishi?
Hilo tayari limekwisha baby maana kitu kilichokua kinasubirisha tayari nimeshakimaliza hivyo kesho tutaenda wote mimi na wewe kwenda kulipa kodi ya miezi 6 kwanza.
Sawa baby nafurahi sana kusikia hivyo maana nilikua naona upo kimya wasije wakampangisha mtu mwengine ile nyumba ni nzuri sana.
Hawawezi kufanya hivyo yule mwenye nyumba huwa nawasiliana nae mara kwa mara na tayari nimeshamwambia kuwa kesho tunaenda kumlipa hela yake ya kodi.
Vanessa alifurahi sana na kuyafanya mashavu yake yatengeneze vidimpozi kama kawaida. Tulikula na kumaliza na tukaamua kuhamia upande wa swimmimg pool ili tukaogelee. Vanessa alienda washroom kubadilisha nguo zake na mimi nikaenda upande wa wanaume na kubadilisha nguo zangu na kuvaa kaptula fupi sana ambayo tuliinunua pale pale muda mfupi uliopita pamoja na vinguo vya Vanessa alivyoenda kubadilisha. Niliwahi kutoka na kumsubiri Vee kwa nje na baada ya dakika kadhaa alitoka na kunifanya nitoe macho utadhani mjusi amebanwa na mlango. Shape yake ilikua sio ya kawaida kwani alijazia hips sio mchezo huku tumbo lake likiwa dogo na limenyooka mithili ya ubao. Kitovu chake kilikua kidogo sana na kimeingia kwa ndani kidogo yani kama kimetengeneza kishimo cha kiaina. Kifuani sasa ndo alikua anaweza akawapiga watu shambulio la kijinsia kwani alikua na matiti mazuri sana yani bado yamesimama vizuri na makubwa wastani. Ukichanganya na nywele zake ndefu nyeusi za kibantu, Vanessa alionekana alikuwa ni zaidi ya mrembo na kunifanya nijivunie sana kummiliki mtoto mzuri kama yule. Vanessa alikua bado mbichi sana kwani aliniambia kuwa ana umri wa miaka 24 wakati mimi nikiwa na umri wa miaka 26. Yani ukimtazama umri wake na umbo lake unaweza usiamini kwani alionekana ni dada kabisa anakaribia hata miaka 30.
Wow! You look so good baby without t-shirt.(Unapendeza Sana Baby Bila Tisheti)
Sikumuelewa hata kidogo na nilibahatika kusikia neno tisheti tu hivyo nikabaki najiuliza tisheti itakua imefanya nini.
Eeh! Unasema tisheti imefanya nini?
Vanessa alibaki anacheka tu kisha akaniambia.
Mume wangu inabidi nianze kukufundisha Kiingereza maana ipo siku utanitia aibu sehemu. Haiwezekani kijana mtanashati kama wewe na mwenye pesa zako uwe haijui hata haya maneno ya kuombea maji.
Nilibaki nacheka tu huku nikiona aibu. Nilijuta kwanini wakati nipo shule nilikua natoroka na kwenda kuangua maembe maana sasa ndio nilikua naona faida ya yale niliyoyakimbia. Sio siri hata mimi mwenyewe nilishaanza kuona haja ya kujifunza kiingereza maana kwa kazi yangu ninayoifanya huwa ninakutana na watu wa aina tofauti tofauti na kuna muda nilijikuta nakwama na kuomba msaada kwa watu wa pembeni wanaoijua lugha.
Tulishikana mikono na kuanza kuelekea kwenye swimming pool huku watu wengi wakiwa wanatukodolea macho sisi haswa Vanessa. Vanessa hakujali kwani ndo kwanza alikua akiniwekea mara mkono wa kiunoni mara ahamishe aweke begani. Hakuona aibu hata kidogo linapokuja suala la mapenzi kati yangu mimi na yeye.
Tuliingia kwenye swimming pool ambapo Vee alikua ni muoga sana wa maji ila nilikua namfundisha kutokana na mimi kuwa mzoefu sana wa kuogelea kwani nilishawahi kufanya kazi ya uvuvi miaka ya nyuma.Ile siku tulifurahi na kula bata sana hadi usiku ambapo nilimrudisha Vee sehemu anayoishi.
*************** ***************
Baada ya wiki moja mimi na Vanessa tukaanza kuhamia rasmi kwenye nyumba tuliyoipata maeneo ya Sinza. Nilinunua vitu vichache sana kwani tayari Vanessa alishakua na kitanda kizuri, kabati la nguo, TV kubwa ikiwa na ving'amuzi vyake pamoja na deki, dressing table na fridge kubwa. Niliongezea kabati la vyombo, masofa ya kisasa kabisa, mazulia makubwa ya manyoya pamoja na vitu vyengine vingi vyenye umuhimu. Rafiki zake Vee, Naima na Aisha nao pia walikuwepo siku hiyo tuliyohamia na walikua wanatusaidia kupanga vitu ndani. Marafiki zangu hawakuweza kufika kutokana na kutingwa sana na majukumu ya kikazi hivyo niliomba msaada kwa vijana niliowakuta mtaa huo huo na kazi ilipoisha niliwapoza na hela ya soda kama unavyojua maisha yetu Watanzania.
Pindi nilivyorudi nyumbani Mbezi Beach ili nikabebe nguo zangu zote pamoja na vitu vyangu vyengine nikakutana na Janeth ambaye nilikua bado sijamuaga. Tulisalimiana na akaniuliza kulikoni mbona nina haraka kiasi kile.
Samahani Janeth kwa kushindwa kukutaarifu mapema ila yote hiyo imetokana na kukosa muda mzuri wa kuongea na wewe. Unavyoniona hapa nimekuja kuchukua vitu vyangu na ninahama humu ndani.
Alex, kwanini lakini na imekua ghafla kiasi hiko?
Sio ghafla kaka David anajua siku nyingi tu kuhusu jambo hili na nilitegemea labda itakua amekwambia. Pia niliogopa nikikwambia unaweza ukapaniki hivyo ndo maana nikaona nisubiri hadi dakika za mwisho.
Alex jamani sio vizuri hivyo, umepata mwanamke eeh?
Janeth alikua na wivu na mimi kupita maelezo utadhani hana mume vile.
Sitaki nikufiche kitu Janeth, ni kweli nimepata mwanamke na nitakua nikiishi nae.
Nilijua tu mimi. Sasa mimi itakuaje lakini si unajua kama nakutegemea wewe.
Janeth please, naomba haya mambo kuanzia sasa tuyasitishe kabisa. Kusema ukweli siwezi tena kuendelea kumkosea David moyo wangu unanisuta sana.
Aleeeex, please. Nitaishi vipi mimi bila wewe.
Sikuamini nilipomuona akiwa anaongea hadi analia na nikaona sasa anafika mbali. Nilimfariji sana lakini hakunielewa hata kidogo na akaniambua kuwa atapigania penzi langu kwa gharama yoyote ili maana alikua hayupo tayari kuona utamu ninaompa unafikia mwisho. Janeth alinichanganya sana na niliamua kuingia ndani na kukusanya vitu vyangu vyote na kuvipakia kwenye gari kisha nikaondoka.
Usiku baada ya chakula nilikaa na mpenzi wangu Vee tukiwa tunaangalia tamthilia kwenye king'amuzi cha Azam.Tulikua tumekaa kimahaba sana huku Vee akiwa amenilalia mapajani kwangu na miguu ameiweka juu ya sofa. Mara nikamuona anageuka na kunitazama kisha akaniambia akaniambia.
Alex mume wangu sema unataka nini kutoka kwangu...............JE NINI KITAENDELEA?
USIKOSE KUFUATILIA SEHEMU YA 31 SIKU YA KESHO.
HADITHI HII IMEFIKA MBALI SANA HIVYO KWA ATAKAYEHITAJI NIMTUMIE INABIDI ALIPE SH. 200/= KWA KILA KIPANDE KIMOJA. AU LIPA SH. 1500/= BADALA YA 2000/= NIKUTUMIE SEHEMU YA 31 HADI YA 40.
NAMBA YA KULIPIA NI TIGOPESA 0719061143 JINA ALLY RASHIDI.
UKISHATUMA PESA HAKIKISHA UNANITAARIFU.

HATIMA YA MAPENZI SEHEMU YA THELATHINI NA MOJA ( 31 )

.HATIMA YA MAPENZI
MTUNZI.............. KENDRICK LINCOLN JR.
SEHEMU YA THELATHINI NA MOJA ( 31 )
ILIPOISHIA..
Usiku baada ya chakula nilikaa na mpenzi wangu Vee tukiwa tunaangalia tamthilia kwenye king'amuzi cha Azam.Tulikua tumekaa kimahaba sana huku Vee akiwa amenilalia mapajani kwangu na miguu ameiweka juu ya sofa. Mara nikamuona anageuka na kunitazama kisha akaniambia.
Alex mume wangu sema unataka nini kutoka kwangu..
ENDELEA..
Nilihisi kama mwili umepigwa na shoti ya umeme kwani aliongea maneno hayo kwa sauti ya kimahaba sana. Nilimtazama sana Vee haswa kwenye lips zako ambazo zilikua zina mvuto kama sumaku. Sikujua ni jinsi gani tuliwasiliana kwani wote tulijikuta tukisogeleana taratibu na kuanza kubadilisha mate kwa mahaba sana. Lips zake zilikua zinavutia sana na sikutaka kabisa kumuachia. Tuliendelea na kale kamchezo karibia dakika 2 na nilimuona Vee akijitoa taratibu baada ya kuanza kuzidiwa na pumzi zake kwani alikua anahema kwa shida sana.
Nakuhitaji wewe tu baby sio kitu kingine chochote.
Nilimjibu kwa sauti ndogo na nzito kidogo.
Alinitazama usoni na kuniinua pale chini tulipokua tumekaa na tukaelekea chumbani. Muda huo tayari dunguso ilishakasirika balaa na hakuna kitu kingine ilichohitaji zaidi ya joto la Vee.. Tulijitupa kitandani na nikaanza kumchojoa nguo zake moja baada ya nyengine hadi akabakiwa na kufuli tu. Nilisisimkwa sana na mwili kwani Vanessa alikua na uzuri wa aina yake. Muda huo na mimi nilibaki na boksa tu na tukajikuta tunaanza tena kubadilishana mate kwa hisia. Nilianza kumchezea matiti yake na nikamuona akifumba macho kwa raha. Nikaanza kuyanyonya taratibu huku nikizivuta chuchu kwa kutumia meno yangu. Kile nilichokifanya muda huo kilikua kama dhahabu kwani kilizigusa barabara hisia zake. Nikahamia kunako kijiji cha uvinza na kuanza kuchimba madini chumvi kitu kilichoamsha vilivyo hisia na majini yote ya Vanessa. Nilimnyonya sana hadi nikaona naniliu yake inaanza kubadilika rangi na kuwa nyekunde kutokana na kuwa mweupe sana. Vee alikua yupo hoi na sikutaka nimcheleweshe na na nikajisemea moyoni kuwa salamu atatuma siku nyengine. Nilikua na shauku kubwa sana ya kuwakutanisha mafahari wawili na sikuchelewa haraka haraka nikaitupa ndoano baharini. Nikaanza kupiga surundaka kwa mwendo wa taratibu na nikamuona Vee akiwa ananyonya kidole chake kwa utamu. Taratibu nilijikuta speed ikianza kuongezeka na Vee alikua analia kwa sauti tamu sana utadhani zile za wazungu kwenye picha za ngono. Vanessa alikua anaongea maneno ya kiingereza ambayo hata sikuyajua maana yake na mimi ndo nikazidi kumpelekea moto wa nguvu. Nilimfikisha pwani mara tatu mfululizo huku na mimi nikiwa naanza kuwahisi wazungu kwa mbali wakiwa wanakuja. Nilizidisha speend na kumkamata Vee kiuno chake na baada ya muda nikafanikiwa kufika pwani ya Mombasa ambapo kulikua na kila aina ya raha. Vee alikua amefumba macho tu na ametulia kimya kama vile anawasikilizia wazungu wangu wanavyoingia kwenye pango lake kutalii.
Nilimuacha na kukaa pembeni huku jasho likiwa linanimiminika. Baada ya kama dakika moja Vanessa alinisogelea na kunipiga busu mdomoni.
Alex wewe ni mwanaume wa kweli.
Kwanini baby!
Niliuliza kama sijui kitu vile kumbe nilishajua dozi niliyompa ndo imemfanya aseme vile.
Yani mpaka nafikia umri huu hakuna mwanaume aliyewahi kunikojoza kiasi hiki kama ulivyofanya wewe leo.
Mhh! Kweli baby?
Ndio. Angalia hata shuka na kitanda jinsi kilivyorowa kwa kupizi sana, yani leo ndo nimejihisi nimefanya mapenzi haswa tofauti na siku zote.
Asante sana mpenzi wangu kwa sifa unazonimwagia maana unanifanya bichwa lote linavimba hapa.
Vee alicheka sana na kunipiga kikosi cha uchokozi.
Ila hata mimi mke wangu nimefurahi sana kwa penzi ulilonipa maana muda wote nikikutazama usoni jinsi ulivyokua mrembo ndo stimu zilivyokua zinazidi. Kiukweli nimeenjoy sana leo maana sijawahi kuwa na msichana mzuri kama wewe baby.
Mmhh! Ushaanza Alex, yani ina maana haujawahi kuwa na msichana mzuri zaidi yangu?
Kweli mke wangu wala sikutanii. Wewe ndo mrembo wangu namba moja kati ya wote niliowahi kuwa nao kwenye maisha yangu.
Asikwambie mtu wanawake wanapenda kusifiwa bwana. Yani hata kama akijifanya hataki basi anakua ni muongo tu ila moyoni anafurahi kupita maelezo. Vee alifurahi sana na alinishukuru sana kwa sifa nilizompa. Tuliongea kidogo na kujikuta stimu zikianza kuamka tena na nikamtaka Vee tuendelee na hakupinga hata kidogo. Siku ile hadi tunalala nilijikuta nimepiga nyanyo nne huku Vee akiwa amefika pwani mara nyingi sana hadi akaishiwa nguvu. Niliufaidi sana uzuri wa Vanessa na hiyo ndio ilikua ni mwanzo wa kabisa wa kuzidi kuufaidi uzuri wake.
*************** ***************
Ilipita takribani miezi miwili nikiwa naishi na Vanessa na sasa tulikua tumezoeana sana. Kiukweli tulikua tunapendana sana na hadi kufikia muda huo naweza kusema Aggy nilikua nimemsahau maana pindi ninapoona meseji yake au akiwa anapiga ndio huwa namkumbuka. Nilifuta hadi namba yake ya simu japo kichwani nilikua naijua ili hata akiwa anapiga usiku isiwe kesi kati yangu na Vanessa. Happy alikua amesharudi kutoka Arusha kwa bibi yake kama mwezi mmoja uliopita na alipokuta kuwa nimehama nyumbani kwao alinilaumu sana kwani sikumjulisha wakati naondoka. Mara nyingi sana aliniomba tukakutane faragha ili tukapeane raha lakini nilikua namzungusha tu kwani sikutaka tena kuendelea na ule mchezo. Hata Janeth nae alikua ananisumbua sana nikampe dozi maana alidai kuwa amezidiwa sana lakini mara zote nilikua namtolea mbavuni. Pia Vanessa alikua ananibana sana yani hanipi pumzi hata kidogo kiasi kwamba sasa hivi ratiba yangu ilikua ni kazini na nyumbani tu. Ilifika kipindi hadi akawa ananipigia video call pindi anapohisi hanielewi elewi nipo wapi. Vanessa alikua na wivu uliopitiliza yani alikaba hadi penati. Mimi nae nilikua nimekufa na kuoza kwenye penzi lake kwani chochote atakachokisema ndio hiko hiko kitakachofanyika. Tulikua tukitoka out kwenda sehemu kama club au beach alikua akinisindikiza hadi chooni eti akidai anaogopa kuibiwa. Kuna muda nilijihisi kukosa uhuru sana kwani rafiki zangu walinitaka tutoke out kama kawaida yetu lakini nilishindwa kufanya hivyo kwa sababu yake.
Nashukuru Mungu nilifanikiwa kumaliza ujenzi wa nyumba kijijini kwetu na sasa baba ma mama walihamia kwenye ile nyumba kubwa. Niliwasiliana na duka flani ambalo lilikua linauza fenicha pamoja na vitu vyote vya ndani ya nyumba ili ninunue fenicha kwao kisha nilipie usafiri na kuvipeleka mpaka nyumbani. Tulielewana na nikaingia kwenye ukurasa wao mtandaoni na nikachagua vitu vyote nilivyoona vinafaa. Nikapanga kuwa pindi nitakapoenda mimi mwenyewe ndo nitamalizia kununua kila kitu. Kweli walivipeleka vitu vyote nilivyolipia na vikafika nyumbani salama kabisa. Pia nilimwambia mama amtafute msichana yoyote pale kijijini mwenye tabia nzuri ili awe anafanya kazi zote za ndani ili yeye apumzike na nitakua namlipa. Kwa umri waliofikia wazazi wangu na mateso yote waliyopitia kwenye maisha yao, sikutaka tena waendelee kuteseka na sasa nilitaka waishi kama wafalme. Baba na mama walinishukuru sana kwa yote niliowafanyia kwani sasa walikua wanaishi maisha mazuri sana. Sio siri ile kazi niliyokua naifanya ilikua inaniingizia pesa nyingi sana kwani ndani ya miezi kama kumi hivi nilifanikiwa kujenga nyumba na kuimaliza yote. David alikua ananilipa vizuri sana pamoja na kunipiga tafu kwenye mambo mengi sana. Pia Janeth alinipa hela nyingi sana kipindi nampa zile dozi zangu za mwana ukome na zote hizo nilikua nazipeleka kwenye ujenzi.
Jioni moja Happy alinipigia simu na kunitaarifu kuwa siku inayofuata anaanza maisha ya kukaa hostel kwani alikua amepangiwa chuo katika Chuo Kikuu Cha Dar es salaam. Nilimpongeza sana na nikamsihi awe makini sana kwenye masomo yake ili aje kuendeleza familia ya wasomi kama walivyo mama yake na baba yake.
Sawa Alex nimekuelewa. Halafu nina shida sana ya kuonana na wewe.
Lini hiyo na una shida gani?
Nafikiri Ijumaa jioni itakua vizuri maana nimeangalia ratiba ya chuo nimeona ndo nitakua free. Naomba uje huku huku hostel nitakwambia kila kitu.
Sawa Happy nimekuelewa nitakuja.
Happy alifurahi sana na kunishukuru kisha tukaagana na kukata simu.
Kweli ilivyofika Ijumaa jioni baada ya kazi nilienda mpaka maeneo aliyonielekeza Happy ambapo hostel anayokaa ilikua ipo maeneo ya Mwenge Vinyago. Niliingia mpaka mtaa alionielekeza na nikamkuta njiani kabisa akiwa ananisubiri..............JE NINI KITAENDELEA?
NAOMBA WOTE LEO TUFANYE KITU KIMOJA. SHARE HII POST KADRI UWEZAVYO ILI IWAFIKIE WATU WENGI SANA NA FAMILIA YETU IZIDI KUKUA.
SHARE. SHARE. SHARE.

JINSI YA KUPAMBANA NA AIBU MBELE YA WATU AU MTU!

JINSI YA KUPAMBANA NA AIBU MBELE YA WATU AU MTU!
Watu wenye aibu ndani yao wanafahamu fika kuwa kuna mambo mazuri yanawapita lakini wanahisi hawana jinsi ya kubadilisha hali hiyo.
Aibu kimahesabu ni sawa na:
AIBU = KUKOSA FURSA + KUKOSA FURAHA + KUFAHAMIANA NA WATU WACHACHE
Aibu ni kizuizi kikubwa sana kwa mwenye nayo kufikia mambo mazuri katika jamii.
Lakini naomba nikuambie hata kama wewe ni mmoja wao kuanzia leo
unaweza kubadilisha hali hiyo kwa kutumia hatua zifuatazo:
1.MTAZAMO WAKO JUU YA WATU WENGINE
Watu wenye aibu mara nyingi wanajaribu kujitofautisha na
watu wapya wanaokutana nao na kuwapa hadhi inayowazidi wao.
Hali hiyo itakufanya ujione huna jipya la kumueleza au kuzungumza mbele ya watu hao.
Unachopaswa kufanya ni
kumuona kila mtu mpya unayekutana naye kama wa kawaida na hana alichokuzidi na kwamba hata yeye kuna vitu hajui
au hana ambavyo wewe unavyo.
2.TAMBUA HATA WENGINE WANA AIBU PIA
Usijiweke peke yako kama ndio mtu mwenye aibu kupita wote na kwamba wengine
hawako kama wewe.
Kuanzia leo tambua kuwa kila mtu ameumbwa na aibu ndani yake pale anapokutana na mtu mpya kwahiyo ukiwa
mbele ya watu wapya
jua hata wao pia wanakuonea aibu kwa kuwa hawajui ulichonacho ni nini.
3.KUSANYA TAARIFA NYINGI KICHWANI
Mtu mwenye aibu siku zote hujiona hana chochote cha maana
kuwashirikisha wengine.
Kuna wengine wanakuwa kweli hawana vitu vya kuzungumza mbele za watu wengine na kuna wengine ni
kujidharau tu na kuona taarifa walizo nazo hazina maana.
Jaribu kuwa na tabia ya kusoma vitu vipya na kuwaeleza watu wengine
na hapo utafanya uwezo wako wa kusimama au kujitokeza mbele ya watu wengine kuwa mkubwa kwa kuwa kichwani
una kitu cha kuwashirikisha.
4.ONGEZA KUJIKUBALI
Ukiwa na tabia ya kujidharau mwenyewe na kujiona huna thamani
mbele ya wengine utafanya aibu ikuteke
daima.
Thamini uwezo wa pekee
ulionao na upe thamani kuwa hakuna mwengine alionao kwahiyo hata wewe
unaweza kuwaonyesha maajabu wasiyoyajua.
Ukijiweka katika kundi
hili hautakuw

MAMBO 12 UNAYOHITAJIKA KUYAACHA ILI UFANIKIWE HARAKA.

MAMBO 12 UNAYOHITAJIKA KUYAACHA ILI UFANIKIWE HARAKA.
Mara nyingi tumekuwa tunafanya mambo yetu kana kwamba tuna muda mwingi sana. Kwamba kesho nayo siku, hili ni kosa kubwa sana.
Iwe unafanya kazi au unafurahia, kuwa makini na jinsi unavyotumia muda wako ni moja ya mambo mazuri zaidi unayoweza kufanya maishani mwako. Yafuatayo ni mambo 18 yanayoongoza kwa kupoteza muda ambayo inabidi uyaache.
1. Kukimbia changamoto
Iwe isiwe, utajikuta umefika mahali ukakosa pa kukimbilia mambo yatakapokufikia shingoni. Kabili changamoto zote unazokumbana nazo na uachane nazo moja kwa moja ukiwa umeshapata suluhisho zake. Kuendelea kuzikimbia haimaanishi umezitatua, zitarudi tena kwa namna tofauti.
2. Kulaani unapokutwa na matatizo
Sote tunakumbana na ugumu wa maisha pamoja na kushindwa kwa kiasi fulani, lakini unapoielekeza akili yako kwenye kutafuta ufumbuzi — hata uwe ni wa kiwango kidogo namna gani — unakuwa umeingia kwenye mchakato wa kujitoa kwenye mtego wa matatizo hayo.
3. Kujidanganya
Usemi kwamba ukweli unakuweka huru ni sahihi kabisa. Imani pamoja na mawazo yanayozuia uwezo wako wa kuwa na machaguo mengi zaidi hayawakilishi ukweli wako juu ya mambo au matatizo fulani na yanayofanya ni kukuzuia usitimize malengo uliyojiwekea katika maisha.
4. Woga
Ni jambo la asili kwa binadamu kuwa na woga na wengi wetu tunajikuta tukiogopa mambo mengi kwa sababu hatuyajui kabisa au hatuyajui vizuri. Kama ukiweza kuelewa sababu za woga ulionao, ni rahisi kujiweka huru baada ya hapo.
5. Mawazo hasi
Ikiwa unajiwekea malengo yako binafsi, yaweke ukiwa na tamaa kubwa ya kuyatimiza pamoja na kuwa na mtazamo chanya badala ya kufikiria mambo yatakayokushinda au yatakayokuwa vikwazo kwenye safari ya kutimiza malengo yako. Mawazo yetu yanaweza kutusababisha tufanikishe malengo tuliyojiwekea na kutufanya kuwa na furaha au kutufanya tushindwe hata kuchukua hatua ya kwanza ya kuyatimiza na kufanya tuishi kwa woga na majuto maisha yote.
6. Kuamini jambo ‘haliwezekani’
Miongoni mwa maadui waku

MKE MWEMA Sehemu ya 1.

Story: MKE MWEMA
Mtunzi: Baujiti
Namba: 0742868019
Sehemu ya 1.
Like yako ndiyo itaamua kama hadithi hii iendelee au isiendelee.
Anza nayo.
Mama alikuwa anakawaida ya kuamka asubuhi na mapema kwa ajiri ya swala ya alfajiri na kila alipoamka alikuja kutuamusha wanawe kwa ajiri ya kwenda msikitini kuswali swala ya alfajiri.
" Seif mwanangu shikilia ibada Dunia siyo rafiki wa kudumu."
" Sawa mama ila Kwanini usiniache nikaswalia hapa nyumbani?"
" Mwanangu mtoto wa kiume huswalia msikitini."
" Mama kwenda msikitini peke yangu nakuwa na hofu Dunia imebadilika matendo ya ajabu kila siku yanatokea."
"Mwanangu Seif muamini mungu pekee na jua kuwa kila upigapo hatua kuelekea msikitini malaika wa mungu wanakuwa wamekuzunguuka na kukupa ulinzi usio na shaka."
" Sawa mama yangu basi wacha niwahi jamaa."
"Inshaallah.
Hayo ndiyo yalikuwa maisha ya nyumbani yalikuwa ni maisha ya kumtumainia mungu na yenye furaha japo tulikuwa mafukara.
Tulipitia mateso mengi sana katika jiji la mwanza ila tuliyavumilia mimi pamoja na familia.
Tuliitwa wakimbizi, mafukara, wezi, kifupi kila mmoja alituita alivyopenda ila mama yangu hakukata tamaa alisimama imala.
Nilikwenda msikitini nilipo fika nilishika udhu kisha nikaingia msikitini nikaswali rakaa mbili za sunah kisha nikasubili jamaa' baada ya swala sheikh alinifuata akaniambia.
" Asalam aleykum."
" Waleykumsalam."
"Napendezwa na kufanya kwako ibada kwani vipindi vyote unahudhulia tena unahudhulia kwa muda muafaka jina lako ni nani nataka nikuunge na wenzio uwe unasoma hapa madirasa."
Nilifurahi sana bila kipingamizi nikakubali na kweli baada ya siku mbili mbele nilianza kusoma madirasa.
Nilimshukuru mwenyezimungu kisha nikamwambia shida nyingine nikamuomba anisaidie niweze kupata Elimu ya Dunia.
" Ewe mungu nakuachia wewe kwani wewe ndiye mpaji na utampa umutakaye na unamnyima umtakae' mungu nitakubali jibu lolote kutoka kwako ikiwa ni kupata au kukosa vyote Nitashukuru na kusema Alhamdulillah."
Imani yangu kipindi hicho ilikuwa juu kabla ya kugeuza ukurasa wa maisha yangu na kafuata maisha Dunia.
Mungu aliitikia Dua yangu nikakutana na mzee mmoja msikitini akanilingania (akanihusia) kuhusu Dini kisha baada ya hapo akanipa hongera ya kuwa mtoto mdogo ninae swali vipindi vitano kwa siku, Baada ya hapo akaniambia chagua jambo ulilolikosa katika maisha yako na unatamani ulipate kama nikiwa na uwezo nalo nitalikupatia.
"Kila siku natamani nipate elimu ya Dunia pia kwani elimu zote ni muhimu kwetu binaadamu."
" Kama ni hilo umelipata kesho tukutane hapa twende ukapate vipimo vya nguo za shule kisha nitakupeleka kuanza kusoma shule ya msingi mwenge na pia na ndugu yako mmoja nitawasomesha nyote wawili."
" Asante sana."
Kweli malengo yalikamilika na bila kuchelewa nilianza kusoma shule ya msingi mwenge na dada yangu akapelekwa shule ya msingi makongoro.
Nilimshukuru mungu Kwa kujibu maombi yangu nikamshukuru mama yangu kwa kunipa matumaini ya ushindi.
**************
Siku zilikatika na maisha yakasonga mbele hatimae miaka minne ikapita na nijafanikiwa kuingia darasa la nne , na upande wa madirasa nilizidi kufanya vizuri napo nikasogezwa daraja mpaka darasa la pili.
Siku hiyo nikiwa nje ya madirasa naongea na dada yangu Halima walikuja mabinti watatu wa kiarabu wakatoa salamu kisha mmoja wao aliyekuwa mkubwa kati yao akaniuliza.
" Tunahitaji kujiunga na madirasa Kuna utaratibu gani?"
" Utaratibu ni kulipia 500 kwa wiki."
500 ya wakati huo ilikuwa na dhamani kubwa sana kwani kilo ya mchele ilikuwa sh.30 na soda ilikuwa tsh15.
" Sawa tuko tayari kulipia ofisi ziko wapi?"
"Ngoja niwaitie Ustadhi Hamisi kwake si mbali ni nyuma ya msikiti."
"Sawa' Shemsa msindikize."
Najima aliyekuwa mkubwa alimwambia mdogo wake wa kike aitwaye Shemsa anisindikize na yeye akafanya hivyo.
Tulienda pamoja mpaka kwa Ustadhi Hamisi nitamwambia kuhusu ugeni akadai turudi baada ya dakika chache atakuja.
Tulianza kurudi maeneo ya chuo na ila tukiwa njiani kwa bahati mbaya Shemsa alijikwaa akanguka akateguka.
"Mamaaa nimeumiaaa."
" Pole sana."
Nilimwambia huku nikimpa mkono ili nimnyanyue lakini akashindwa kutoka chini nilicho fanya nilishika mguu ili niunyoshe ila kwa bahati mbaya nikawa nimeona Sehemu ambayo hayikuwa na ruhusu kuyiona akili yangu ikahama mwili ukanisisimka nikabaki kama mtu aliyepingwa shoti.
" Niinue hapa."
Like yako Ndiyo itakunipa jibu kama hadithi hii itafaa kuendelea katika group hili au laa.
Itaendelea...................

MKE MWEMA. Sehemu ya pili.

Story: MKE MWEMA.
MTUNZI : Baujiti
NAMBA : 0742868019.
Sehemu ya pili.
Like yako ndiyo itakuwa inaleta hadithi hii siku ukiona haipostiwi basi ujuwe kuwa like yako ilikosekana.
Endelea nayo.
Nilimuinua Shemsa kutoka chini ila nilikuwa kwenye mfadhaiko furani ila baada ya kubaini hilo nilitaka mungu msamaha na kisha nikatubia kosa langu.
"Eee mwenyezimungu muumba wa mbigu na aridhi na vyote vilivyomo nisamehe kwa kuyaelekeza macho yangu kusiko faa kuelekeza."
Shemsa aliniangalia kisha akaniuuliza.
""Unaitwa nani?"
" Naitwa Seif."
" Seif tumlaani shetwani kwani nyoyo zetu zimeingia mchanga furani wa vumbi kama tusipo muweka mungu mbele basi tutajikuta tunakuwa wakosefu mbele ya mungu."
"Ni kweli kabisa."
Msemo wa Shemsa ulikuwa unamaana kubwa sana ila kwa mtu muelewa. Kwa kukufumbua macho ni kuwa sote mimi na Shemsa tulikuwa tumetokea kupendana kwani macho yetu yaliongea na nafsi zetu zikatafsili.
"Shemsa tushikamane katika mambo ya heli na masomo tuwe marafiki wa kudumu na mimi Nakuahidi nitakulinda na kukuheshimu mpaka pale mungu atakapo jalia kutuonesha njia iliyo sahihi kufikia wakati wa kuitana wachumba."
" Seif una matamu yakujenga na sio kubomoa ila naomba nikuulize jambo?"
" Uliza."
Tulijikuta tunakaa chini na kuanza kuongea na kusahau kama tulikuwa tunasubiliwa kupeleka jibu.
"Seif urafiki wetu utakuwa wa aina gani?"
" Utakuwa ni urafiki wa kutakiana mema na kushauriana mema ila pia utakuwa ni urafiki wa kusubili au utakao kuwa na ahadi ya ndoa ndani yake."
"Amina tuombe mungu atuongoze katika heli na tusije kumuasi kipindi chote cha urafiki wetu."
"Sawa inshaallah."
" Seif twende tusije chelewa nikamkasirisha Dada Najma."
" Sawa."
Tuliondoka tukaelekea tulipokuwa tumewaacha wenzetu ila tulipo fika tulishangaa kukuta hawapo hata tulipoenda kuangalia ofisini tulikuta hawapo.
"Seif wameenda wapi?"
" Sijui?labda watakuwa wameenda nyumbani."
"Kwani tumechelewa sana.?"
"Tumemaliza karibia dakika 30"
"Watakuwa wameendoka."
" Basi sawa Seif acha mimi niwahi nyumbani."
" Na mimi pia wacha nifike nyumbani maana saa nane inatakiwa niwe nimerudi madrasa."
" Sawa kwaheli."
" Sawa."
Tuliagana ila nikasimama nikajiuliza kwanini arudi peke yake? Nikaona siyo vizuri wacha nimsindikize.
""Shemsa wacha nikusindikize."
"Sawa twende."
Tuliondoka ila tulikuwa kimya sana hakuna aliyekuwa anaongea na kila mmoja alikuwa ana haibu ya kumuanza mwenziye.
"Seif nimefika ni pale."
"Sawa acha nirudie hapa."
"Twende mpaka nyumbani japo upate hata maji ya kunywa."
Sikupinga kweli nilimfikisha Shemsa kwao nikamkuta mama nijamsabahi akaitika vizuri akanikaribisha nikakaa kwenye kiti.
"Shemsa mletee juice mwenziyo."
Nilipewa juice nikanywa kisha nikaaga ila kabla ya kutoka mama Shemsa akamuita mwanaye wa kiume anaitwa Humudu.
"Humudu Humudu..?"
" Namuuuu..."
" Msindikize mwenziyo"
Humudu alitoka na mimi ndani kwa nia ya kunisindikiza ila tulipofika balabalani alianza kunitukana.
" Yaani mama ananisumbua kuja kusindikiza kapuku kama wewe?"
Sikumjibu nilinyamanza mpaka nikafika nyumbani nilipofika nilimkaribisha.
" Karibu tumefika mimi ninaishi hapa."
" Ndio unaishi hapa kwenye vichuguu?"
" Ndio "
"Aya kwaheli."
Umudu aliondoka ila nilibaki naumia moyoni na kujutia ni kwanini nilikubali anisindikize mpaka nyumbani.
Niliingia ila nilipofika nilikuta mama yangu analia akiwa peke yake nikashituka nikamuuliza.
" Mama mbona unalia"
" Hapana mwanangu."
" Mama usinifiche niambie ukweli."
"Mwanangu najua kuwa toka jana usiku hamjala kwa hiyo ninapo waona katika hali hiyo mimi naumia sana dada yako katoka chuo njaa inamuuma na mdogo wako naye hivyo hata wewe pia najua unahisi njaa."
" Mama usilie acha nitoke nikirudi huenda mambo yakawa mazuri."
" Mwanangu unakwenda wapi?"
" Vuta subira mama nakuja."
Nilitoka nje hakili yangu ikazuunguka niende wapi nifanye nini ili tupate chakula? Nikapata jibu huwa Mtaa wa pili kuna wakina mama wanakaanga samaki na ukiwapelekea kuni wana kupa samaki aina ya panki' kwa wakazi wa mwanza najua wanazijua samaki hizo.
Sikuwa na pa kutoa kuni kutokana na kuwa tulikuwa tunaishi mjini ila nilichofanya nilikwenda nikapenyeza uchororo nikatokea nyuma ya nyumba moja ya mama Yasini muuza samaki Nilichofanya nilitembea kwa tahadhari nikaenda nikaiba kuni kwenye store (stoo) kisha nikaondoka nikatokea upande wa pili balabalani nikapeleka kuuza kuni hapo hapo kwa Mama Yasini.
"Nimekuletea kuni mama"
" Asante kuni nzuri sana mwanangu nitakupa samaki ya mnofu."
" Nitashukuru mama yangu."
Alinipatia samaki ya mnofu moja na samaki aina ya mapanki vipande viwili ila nikamuomba samaki ya mnofu abaki nayo anipatie pesa kidogo na yeye akakubali bila kipingamiza nikaondoka mbio mbio nikaenda kununua unga na vinyanya kisha nikaanza kukimbia kuelekea nyumbani ili niwahishe mama apike tupate mulo maana ndugu zangu walikuwa hoi kwa njaa.
Niliishiwa nguvu nilipo fika nyumbani nilimuona Mama Yasini akiwa nyumbani pamoja na watoto wake wawili kiume na waliponiona wakanisota vidole wakioneshana nitajua tayari mambo yamehalibika nilicho sema nilisema *Eehh muumba wa mbigu na aridhi niliyomo nilinde na Sharii za viumbe wako hasira zao uzipoze wasije nidhuru wala kuniabisha*
Like yako ndiyo itaniambia kuendelea kuandika hadithi hii au laa.
Itaendelea...................